Friday, 14 October 2016

Mungu katika vizazi vyote anatafuta Nafsi inayomtafuta yeye

9 adari, 6
Somo :- Mungu ktk vizazi vyote anatafuta Nafsi inayomtafuta yeye.

Wakili wa Mungu Amesema ktk umbaji wa Mungu tangu mwanzo ni kutafuta nafsi ambayo inayomjua yeye.

Amesema kama nafsi yako ipo upande wa shetani huwezi kumsikiliza Mungu.

Ameongeza kuwa kikichokuwa kinawapa ugumu kwa waliotumwa ni Nafsi sio kumtafuta Mungu.
Ameagiza kila mmoja kutubu kwa kukosa nafsi inayokataa kumjua Mungu maana Mungu anataka nafsi inayofuta.
Mungu anataka nafsi zote za Dunia kumjua Mungu maana ni kipindi Mungu anaandika sheria zake mioyoni mwetu.

Wote tugeuke nafsi inayofuta Mungu maana huwezi kumtafuta Mungu usifanikiwe.

No comments:

Post a Comment