13 abibu, 6
Somo :- Kanisa na taifa kulindwa na Mungu kama Wakili wa Mungu anavyolindwa!
Leo Wakili wa Mungu alianza ibada kwa kulifutia kabisa madeni yote kwa kuligawia kanisa mchele uliokuwa madhabahuni hapo.
Akimaaanisha kanisa Zima kufutiwa madeni wenye haki wote.
Lakini pia imesimamishwa Sadaka maalumu ya Kanisa kutetewa na Mungu kwa kila kitu.
Yaani vinavyoonekana na visivyoonekana vitasimama kukutetea mwenye haki.
Kutetewa na Mungu kama Wakili wa Mungu anavyotetewa na kila kitu.
Ambapo ameita sadaka maalumu hiyo na mafuta Kanisa tuliyopakwa leo yanaitwa "NIGUSE UONE"
Mstari wa leo tuliofundishwa ni "Heri uniguse mimi kuliko umguse Miaka 1000 maana hautasamehewa" Neno lililosemwa na Eliya Ad2 Mungu wa majeshi.
No comments:
Post a Comment