27 Abibu, 6
Somo :- KUFUNULIWA KWA KANISA LENYE NYOTA YA MUNGU KWA UP YA.
1⃣UWE ZA (INNER STRENGTH)
2⃣Nguvu.
3⃣Utajiri.
4⃣Heshima.
5⃣Hekima.
6⃣Utukufu.
7⃣Baraka.
Hayo yanakuja kwangu kwa upya na kilichokuwa kinasonga hayo kuonekana kwangu ilikuwa ni magugu.
Awali akijenga msingi wa ibada hiyo Wakili wa Mungu amesimamisha sadaka maalumu ya Kuteketeza agano la waovu kujifunika kifuniko cha wenye haki yaani waliwatanguliza wenye haki mbele ili wakutwe na mishale.
Yaani yeyote anayefanya chochote kwa hila kwa sadaka maalumu hiyo kila hila zote zinateketezwa.
Wakili wa Mungu ameagiza kila mwenye haki siku ya leo ahakikishe anajiwasha kwa ukamilifu ili kurejesha NYOTA za Mungu kwa upya ndani yako.
Amesema NYOTA ya Uweza ilibeba ukamilifu wa NYOTA zote saba ambayo Inaweza kuibiwa kwa kukosa uvumilivu au subira ikiwa ni pamoja na ukijaa maneno mengi.
NYOTA hizi ni uziachilie na kuzifanya kuwa ni MALI ya Mungu Aliyetuma wote kwa wewe mwenyewe kuhiyali kumtanguliza yeye kwenye kila jambo.
Yaani ajulikane Aliyetuma wote VIZAZI VYOTE kuwa ni Mungu ndiye amefanya.
Karibu usikilize kwa upendo ili ubarikiwe.
No comments:
Post a Comment