6 abibu, 6
Somo :- Uumbaji Mpya wa Akili ya mwenye Haki.
Wakili wa Mungu Amesema kila kizazi ilikuwa lazima kipitie anguko lakini sio sasa hivi.
Mungu badala ya kukimbia mlima wake Bali sasa anauwa hakimbii tena.
Wakili wa Mungu Amesema kwa sasa hivi hata mlima wa Bwana ukichafuliwa Mungu hakimbii maana kwa toba ya Mungu mwenyewe hawezi tena kukimbia mlima wake.
Aidha amesisitiza kanisa kuacha mazoea ya tuliyowahi kumfahamu Mungu Bali sasa Mungu ni ufahamu.
Hata hivyo ameagiza kila mmoja aungane na Malaika wa Uumbaji Mpya wa Mungu mwenyewe Ezekiel 36:26-
Pamoja na kuungana na Malaika wa utekelezaji wa Neno la Mungu litokalo kwenye kinywa cha Mungu mwenyewe Isaya 55:11.
Ikiwa ni pamoja sasa Pete ya agano inavaliwa mkono wa kulia sio kushoto tena.