Showing posts with label 3 Zivu 6. Show all posts
Showing posts with label 3 Zivu 6. Show all posts

Friday, 4 November 2016

THAMANI NA FAIDA YA MUNGU ALIYETUMA KUSIMAMISHA JUU YA WALIOTUMWQ

3 Zivu, 6

Somo :- THAMANI NA FAIDA YA MUNGU ALIYETUMA WOTE KUSIMAMA JUU YA WALIOTUMWA.

Awali akijenga msingi wa ibada hiyo Wakili wa Mungu amesimamisha Sadaka maalum ya Hakuna aliye juu ya Toba ya Mungu Aliyetuma wote vizazi vyote ambayo inafuta kufa na mauti zote.

Aidha katka ibada hiyo Wakili  ametangaza kufutika kabisa ugonjwa wa kufisha uliokaa ndani ya moyo wa mtu uliosumbua waliotumwa ktk vizazi vyote yer 17:9-10.

Sasa moyo hauna ugonjwa wa kufisha tena kwani Aliyetuma wote vizazi vyote anakaa ndani ya moyo akiwa juu ya wote.

Hatahivyo atangaza kurejeshwa Kwa vitu waliotumwa waliondoka navyo na haikuwa rahisi kuvipata mpaka ilibidi aje yeye mwenyewe Aliyetuma wote ili virudishwe na Mungu.

Musa:-
ile nguvu ya kuvuka bahari ya shamu Kwa utayali yaani ile nguvu ya mafuta makubwa ya kuvuka kila eneo Kwa ushindi mkubwa.

Joshua:-
ile nguvu ya uhodari na ushujaa ambapo sasa kila mahali nitakuwa na uhodari na ushujaa wa wivu wa Bwana.

Eliya Mtishibi:-
Ile nguvu ya kushusha moto wa Mungu ambapo sasa Aliyetuma wote ameachilia moto mkubwa wa kuteketeza maadui wa Kanisa.

Elisha II:-
Mji huu sio na njia hii sio yaani sasa kila anayeniwinda atapotea njia yeye mwenyewe.

Yesu:-
Nguvu ya kufuatwa na makutano mkubwa ya watu ambapo sasa makutano mengi na makubwa kuja kwa Aliyetuma wote vizazi vyote.

Petro:-
Nguvu ya kivuli kuponya imerejea sasa kivuli cha mwenye haki kuponya na kuwaleta Kwa Mungu.

Paulo:-
Nguvu ya kuona vitu vyote kama mavi.  Yaani marejesho ya kutokamatwa na kupenda vitu.

Eliya Ad2:-
Utiisho wa Mungu.  Nguvu ya Utiisho wa Mungu imerejea ndani ya Kanisa milele.

Karibu usikilize Kwa upendo uhame vituo vya Ufahamu.