Showing posts with label 20 Abibu 6. Show all posts
Showing posts with label 20 Abibu 6. Show all posts

Monday, 24 October 2016

Kuwa Mungu Juu ya shoda zote/ Hila zote (Mdo 28:6)

20 abibu, 6
Somo :- KUWA MUNGU JUU YA SHIDA ZOTE / HILA ZOTE ( MDO 28 : 6 )

WAKILI WA MUNGU LEO AMETANGAZA ADUI ZANGU KUWA CHINI YA MIGUU YANGU.

KANISA TUMEFUNULIWA pamoja na Kristo ambaye yupo mkono wa kuume wa Mungu na kanisa liko mkono wa kuume wa Mungu hivyo na Pete iko mkono wa kuume wa Mungu.
Awali akijenga msingi wa ibada hiyo Wakili wa Mungu amesimamisha sadaka maalumu ya Kuteketeza kabisa madui na adui zangu wote kuwa chini ya miguu yangu.
Kila farao katka maisha yangu anaishia hapo kwenye sadaka hiyo aliyekuwa anazuia huduma ya Mungu, yaani chochote kilichowahi kukaa mbele yangu leo ni mwisho mwa 41:42-43.

Ambapo kwa sadaka hii kutoka7:1- imetimia kwa kila mwenye haki.

Kila hila iliyowahi kuwa juu yako leo ni mwisho au chochote kilichokuwa kinafukuliwa kunisumbua leo mwisho.

5 ethanimu, 5 Mungu Aliyetuma wote alijumlisha vitu vyote vikawa chini yake, sasa vitu vyote ni vyangu lakini kabla ya kuvikwa Pete  aingewezekana.

Karibu usikilize kwa upendo uhame vituo vya ufahamu na kupona kupitia ibada hii ya leo.