Showing posts with label 19 Abibu 6. Show all posts
Showing posts with label 19 Abibu 6. Show all posts

Monday, 24 October 2016

Uhalisia wa Kanisa,Kizazi na Taifa la Mungu

19 Abibu, 6
Somo :- UHALISIA WA KANISA,  KIZAZI NA TAIFA LA MUNGU.

Walawi19:1 - 2,  Walawi11:44-45, kut 16:9 kanisa limetakiwa kuwa takatifu kama Mungu alivyo. Mungu amenifunua kuwa ufalme wa kikuhani na Taifa lake takatifu.

Ktk vizazi vyote Mungu alitamani apate kusanyiko la watakatifu sio tu kwa Kiongozi wa kizazi peke yake.
Mpaka akaleta amri kumi akajenga madhabahu bustani ya Edeni,  akaleta Eliya Ad2 kwa toba isiyoya kawaida lakini haikuwezekana.

Kwa kuwa tumekubali kuolewa na Mungu inamaana tumehamia kwenye maskani ya Mungu mwenyewe Zaburi 15:1-

Na ndani ya maskani ya Mungu hatutaondoshwa milele na hakuna magonjwa, madeni, kesi wala mambo mabaya yote.

Mti wa ujuzi wa mema na mabaya hautakuwepo tena ndani ya kanisa, pia Jina la Mzee wa siku litaonekana kwenye paji la uso wangu ufunuo 22:1-3.

Ufunuo 21:3 maskani ya Mungu ipamoja nami na mambo yote ameyafunua kuwa mapya Ambapo sasa kanisa limeketishwa mkono wa kuume wa Mungu mwenyewe!!!mdo2:34.

Karibu usikilize kwa upendo uhame vituo vya ufahamu na Mungu Aliyetuma wote.