Showing posts with label 15 Abibu 6. Show all posts
Showing posts with label 15 Abibu 6. Show all posts

Wednesday, 19 October 2016

Siku 7 za ukurasa Mpya wa Kanisa likiwa limeolewa na Mungu Mwenyewe (15-21)Isaya 33:17-24.

15 abibu, 6
Somo :- Siku 7 za ukurasa Mpya wa Kanisa likiwa limeolewa na Mungu mwenyewe (15-21) Isaya 33 : 17-24.
Awali akijenga msingi wa ibada hiyo Wakili wa Mungu amesimamisha sadaka maalumu ya Mungu kuhuluku giza/ubaya wa kila aina Isaya 45:7-8

Kila ubaya, maovu yote na giza lote Mungu amehuluku ktk maisha yetu.

Yaani sadaka hii ni kufuli la mambo yote mabaya ktk maisha yetu Mwa 7:16b.

Kanisa kuanzia sasa ni kao la raha hatuta tanga tanga tena! !!!!
Shida zote za vizazi zilizokuwa zikitufuatilia kuanzia jana Mungu amezifuta hatutaziona tena! !!!
Mimi ni wa Mungu na yeye ni wangu milele! !!!!

Kulikuwa na kipindi cha Uumbaji wa:-
1111 Mwa1:1
1111 mwa 8:13
1111 Luka 2:21
1111 28 adari, 2011

Leo 1111 ya Aliyetuma wote VIZAZI VYOTE! !!!!! Imesimama kwa uhalisi wake.

1111 ktk vizazi vyote 4 vilivyopita kila ilipotokea Uumbaji huo waliharibu.

Sasa hivi tuna 1111 ya Aliyetuma wote VIZAZI VYOTE na ili wasiingie hapo kuharibu,  Mungu ameweka kufuli.
2 Sam 7:10-11 Mungu amenistarehesha mbele za adui zangu na mahali aliponiweka sitatolewa tena!!!!
Leo ni sikukuu ambayo hajawahi kutokea! !!!

Karibu usikilize kwa upendo uhame vituo vya ufahamu na kupona kupitia ibada hii ya leo. ..........👏